Inatafuta...

Nape Amtaka Zitto Kujenga Upinzani wa Kweli na Kuachana na Siasa Kama za Chadema

Salaam,nimesoma kwenye nipashe nape akimtaka kuanzisha upinzani wa ukweli sio kama wa chadema.kwa mujibu wa nape amesema chadema siasa zao zinaligawa taifa.mimi najiuliza ni upinzani gani anaoongelea nape kwa zitto? maana ili taifa lisigawanyike lazima wote tuwe ccm na ni upinzani gani anaomtaka zitto kuanzisha nakuifurahisha ccm?

Changia Maoni Yako Hapa

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top