Inatafuta...

Je! Umesikia Juu ya habari za Kufo cha John Cena? Ukweli halisi wenye Uthibitisho uko Hapa


Katika siku za hivi karibuni mcheza mieleka maarufu John Felix Anthony Cena amekuwa moja ya wahanga wa mitandao ya kijamii baada ya kuzushiwa kifo.
Habari zimesambaa kwa wingi mtandaoni kuwa Cena amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kupata ajali ya gari,vyanzo vingine vinadai Cena
amefariki baada ya kuumia kichwani alipokuwa mazoezini na mcheza mieleka mwingine maarufu Dwayne Johnson(The Rock)
Uongozi mzima wa WWE umekanusha habari hizo na kuziita habari zisizokuwa na tija zaidi ya kuzitafutia umaarufu baadhi ya media.

Changia Maoni Yako Hapa

4 comments

Nakutakia maisha marefu Cena Maana nakukubali kuiko mchezaji mweleka yeyote wa WWE

Reply

Asante Kwakunitoa Wasi wasi BongoChoice

Reply

Watu hawaoni Aibu kuzushia wenzao wamekufa?!!

Reply

Ni noma sana Maana Kumpoteza kipenz changu Mmmh Ingekua ngumu kuelewa

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top