Inatafuta...

Davido Atembea Barabarani akiwarushia hela Shabiki wake.. Picha ziko hapa

kwa kweli on this mwanamusic davido amechemka to me throwing the money to the street like slavery kwa kweli hii haijakaa poa, leo kupitia mtandao wake wa jamii mwanakaka davido mara baada ya kuchkua degree yake na kurejea nchini alipost video akionyesha mashabiki wake wakiwa na furaha wakimsubiria airport, but kitendo kilichowasitikisha wadau wengi wa musiki ni pale pindi mwanakaka huyo alipoaanza kuzirusha hela barabarani huku gari likitembea na wananchi wakianza kuziokota kiukweli to me kitendo hicho ni cha utumwa, sasa sijui ndo anamlipa kaka diamond coz yeye pia alishawah kufanya hivyo katika show moja iliyofanyika leaders club ya tigo kibokoyao, ukiwa kama mdau wa muziki unasemaje kuhusiana na tukio hilo..?

Changia Maoni Yako Hapa

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top