Inatafuta...

[PICHAZ] Benki ya UBA Yaendeeza Tizi Kila siku Beach na wateja wao Tizama Picha Hapa Kwa wapenda Burudani..

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhltLBPpdhWJ_hRuyX4337cOozLIiTG1dBH-Tplt-83cgQ206GyM018tjf37XHGatjr42uEw4mHLt_rP-nLyTiw2ukojLSkaRamZlGFMgfPggaIe0OHipSuqS6o_2YMsisuWOTGCMjOnjF2/s1600/2.JPG 
Wafanyakazi wa Benki ya UBA (United Bank for Africa), wakishindana kuvuta kamba wakati wa mazoezi waliofanya jijini Dar es Salaam jana kutokana na utalatibu waliojiwekea kwakila baada ya miezi mitatu hufanya mazoezi pamoja na wateja wao. 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUq_MVIvo5sPGYTiuQywrpoZJdOhWXSoEi03jdnGwnCs1wkTS7EEJGcQSIbe-ldhyphenhyphen6dkG9X_V_kbQ-m80eaxMy4dtKkh_djyUwK5hWzXuuf4jYEEqq-tQ8lbMkak93yB_xPScizL1dXYEC/s1600/3.JPG 
Mwalimu wa mazoezi ya viungo kutoka Chama cha walimu wa mazoezi hayo, FIAT, Ray Mwamakula (kushoto) akiwaongoza wafanyakazi wa Benki ya UBA (United Bank for Africa), kufanya mazoezi Dar es Salaam jana. 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi-n91HSpKKaVxKc4GtiQ0O9GbEOyLSBP6j1Y69t1YcJKPH9dQJILA_6ASczYwxXDlRFZQNYuIqQbW0_1Nk-zZW3XZXehFPIzqTgqlhOOQzHOBwxfVdnY55J-YgMAncnTH0fHsnbOaUZqhM/s1600/4.JPGMwalimu wa mazoezi ya viungo kutoka Chama cha walimu wa mazoezi hayo, FIAT, Ray Mwamakula (kushoto) akiwaongoza wafanyakazi wa Benki ya UBA (United Bank for Africa), kufanya mazoezi Dar es Salaam jana. 

Changia Maoni Yako Hapa

1 comments:

Iko poa Sana y-) nmeipenda Hii saili ya kuvutia wateja g-)

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top