Inatafuta...

Wema Sepetu na Millard Ayo wala shavu la tangazo la Mitsubishi

Makampuni mengi ya kimataifa yameanza kuamka na kutambua kuwa ili kufikisha ujumbe wao kwa wanunuzi, ni bora kuwatumia mastaa wa ndani.

Hivi karibuni, Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo, wamepata shavu la kutangaza gari jipya la kampuni ya Mitsubishi aina ya ASX.

Kwenye tangazo la gari hilo, mastaa hao wenye ushawishi mkubwa wanaonekana wakisifia vitu mbalimbali vilivyomo kwenye gari hilo.

Changia Maoni Yako Hapa

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top