Inatafuta...

[PICHAZ] Tizama Picha Hii zikionesha uzembe wa dereva wa basi.. Unadhani nini kitatokea? Hatua Gani anapaswa achukuliwe dereva huyu

https://m.ak.fbcdn.net/sphotos-d.ak/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/s480x480/11052858_1170515792962837_6152901357106796243_n.jpg?oh=83d6639739eef2ed99002e250d1d4464&oe=5586D9E5&__gda__=1438039092_2df610f7e2d8c6cc620d856daca1d267
Ukitizama hii picha utaona huyu Dereva wa basi ka-overtake hili Lori lenye kontena halafu upande wake wa mbele kuna Lori lingine linakuja, unadhani kifuatacho hapo nini?? Uzembe huu wa Madereva hadi lini jamani maana kwa uzembe huu ndio cha vifo vya ndugu zetu wengi maana huyu Dereva anajisahau kuwa amebeba roho za watu wengi katika basi hili.
Ingekuwa mamlaka yako, Madereva Wazembe kama huyu wanaosababisha vifo vya watu wengi ungewapa adhabu gani?


Ajali mbaya imetokea Jumatano hii maeneo ya Mafinga mkoani Iringa katika kijiji cha Changarawe baada ya lori la mizigo lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mbeya lililokuwa likikwepa shimo kubwa lililopo katikati ya barabara, kugongana na gari la abiria la kampuni ya Majinja lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Dar es Salaam.

Kontena la lori hilo limeilalia basi na watu wengine wamelaliwa huku wengine wakiporomokea kwenye korongo.

Mpaka sasa hakuna majeruhi ni maiti tu wala hakuna mtu mtu anayedhaniwa kupona.
 
Barabara ya kutoka Mbeya kabla ya kufika Mafinga imefungwa na zoezi la uokoaji linaendelea.


Changia Maoni Yako Hapa

2 comments

Madereva waumbavu sana Wanasababisha ajali kwa uzembe

Reply

Hajalewa kweli Huyo dereva?

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top