Inatafuta...

Tundu Lissu: Filamu za Ponografia ama X Siyo Kosa Kwa Watu Wazima

Tundu Lissu amesema leo bungeni dodoma kuwa,Filamu za Ponografia siyo kosa la jinai dunia nzima isipokuwa ni mambo ya wakubwa,Na akaomba kifungu hicho kifutwe.

Kumbukeni lissu amesisitiza kwa watoto ndio kosa si kwa watu wazima.

Next time watakuja na muswada ku-control kila kinachofanyika bedrooms.

Nakupe 5 Lissu

Changia Maoni Yako Hapa

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top