Inatafuta...

Zitto Achukua Maamuzi Magumu..Akutana na Wazee wa Jimbo lake na Kusema Haya

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Zubery kabwe Leo Alikutana na Wazee wa Jimbo Lake na Kutoa Maamuzi magumu mbele ya wazee hao kama hatogombea tena Ubunge kwenye jimbo hilo alilolitumikia kwa muongo moja (miaka 10) huku wazee wakimbariki achukue maamuzi  yanayofaa kulingana na hali ya kisiasa inayoendelea hivi sasa.
Katika page yake ya facebook amepost ujumbe huu kama unavyosomeka hapa chini:

Changia Maoni Yako Hapa

3 comments

Hakuna maamuzi magumu aliyochukua ila amepima hali ya upepo kwenye jimbo lake haumvumii vizuri.

Reply

Pole kaka kwa maamzi mazito

Reply

Ndo tusemeje kaka... ndoto ya siasa ndo mezima ama???

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top