Mh.Kikwete ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na viongozi wa dini
kupitia kamati ya amani ya mkoa wa Dar es Salaam ambapo amesema kitendo
walichofanya viongozi hao wa dini kingeweza kuwa na tija kama katiba
inayopendekezwa ingekuwa inawanyima uhuru wa kuabudu.
Na kuhusu mahakama ya kadhi Mh.Kikwete amesema serikali haitaanzisha ila waislamu wenyewe wana uhuru wa kuwa nayo amala.
Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh.Said Meck Sadick
amesema uwepo wa hali ya utulivu hasa katika mkoa wa Dar es Saam
imewezekana kutokana na viongozi wa Dini kuwa naumoja ambao kila
mara wamekuwa mstari wa mbele kusaidia amani idumu nchini.
1 comments:
5-p
ReplyPost a Comment