Dkt.
Amosy Ephreim M'Koma, Mtanzania, Bingwa katika fani ya Upasuaji (Colon and
Rectal Surgery). ametambuliwa na Jarida kubwa la watalaam mabingwa wa upasuaji
duniani la "World Journal of Surgical Procedures" kutokana na
shughuli zake za utafiti (Surgical Sciences) katika Chuo Kikuu cha Vanderbilt University huko
North Nashville, Tenesee. Dkt. M'Koma amekuwa taarifa kuu katik
toleo la sasa la Jarida hilo (BOFYA HAPA) lenye bodi ya wahariri 275 ambao wote
ni mabingwa wa upasuaji toka sehemu mbali mbali dunia. Globu ya Jamii
inampa hongera sana Dkt M'Koma kwa fanaka hiyo ambayo kupatikana kwake ni
lazima uwe jembe kweli kweli kwenye fani hiyo.
Inatafuta...
Post a Comment