Inatafuta...

Dactari Bingwa Wa Tanzania Atambulika Duniani, Atajwa Kwenye Gazeti hili Kubwa Duniani Soma zaidi Hapa..

Dkt. Amosy Ephreim M'Koma, Mtanzania, Bingwa katika fani ya Upasuaji (Colon and Rectal Surgery). ametambuliwa na Jarida kubwa la watalaam mabingwa wa upasuaji duniani la "World Journal of Surgical Procedures" kutokana na  shughuli zake za utafiti (Surgical Sciences) katika Chuo Kikuu cha Vanderbilt University huko North Nashville, Tenesee. Dkt. M'Koma amekuwa taarifa kuu katik toleo la sasa la Jarida hilo (BOFYA HAPA) lenye bodi ya wahariri 275 ambao wote ni mabingwa wa upasuaji toka sehemu mbali mbali dunia.  Globu ya Jamii inampa hongera sana Dkt M'Koma kwa fanaka hiyo ambayo kupatikana kwake ni lazima uwe jembe kweli kweli kwenye fani hiyo.

Changia Maoni Yako Hapa

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top