Inatafuta...

CRDB Kujenga Ukuta wa Fensi ya Nyumba ya Daimond Platnumz Ulioanguka

Benki ya CRDB imepanga kumjengea ukuta wa fensi wa nyumba ya Daimond Platnumz ulioangushwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini. CRDB wamesema hayo kuwa watamjengea ukuta huo kwa kuwa Dai aliikatia Bima nyumba hiyo.

Gharama itakayotumika kujenga ukuta huo ni milion 15.

Chanzo: E-Fm Radio

Changia Maoni Yako Hapa

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top