Inatafuta...

Breaking News: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yaahirisha Kura ya Maoni

Katika kikao cha waandishi walichoitisha leo mchana, Tume ya taifa ya uchaguzi wameahirisha kura ya maoni iliyokuwa ipigwe April 30 hadi watapotangaza vinginevyo kutokana na kutokamilika kwa uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa BVR.

Changia Maoni Yako Hapa

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 Bongo Choice | Modified By Bongo Choices
Back To Top